Products
There are 37 products
Regular price
$2.50
In stock
Asali mbichi hii inapatikana kwetu ikiwa imepimwa na kuthibitishwa na mamlaka ya UBORA Tbs.
$2.62
In stock
FAITH COOKING OIL; Ni mafuta ya Alizeti halisi kutokea Singida Tanzania.
Yanaandaliwa katika hali ya usafi na Ubora wa hali ya juu
YYanakamuliwa na mashine zenye viwango na kuhifadhiwa katika madumu nadhifu
Hayajachanganywa na ...
$1.11
In stock
FAITH SUPER RICE, ni mchele toleo la kwanza (Grade A) unaotokea Kyela Mbeya.
Unanukia vizuri
Ni msafi
Unachambuka vizuri ukipikwa.
$0.70
In stock
FAITH SUPER SEMBE: Ni unga wa kupokia ugali, Unaandaliwa kwa kutumia mahindi safi na meupe na ni mlaini.Pia ni mtamu sana na unatia nguvu mwilini.KARIBU UJENGE AFYA YAKO NA FAITH SUPER SEMBE.
Regular price
$2.15
In stock
Unga wa Uji lishe wenye mchanganyiko wa
Ulezi
Mahindi lishe
Ngano
Mchele
Mbegu za maboga
Regular price
$2.00
In stock
FAIDA 15 ZA GEEDASA MASALA MCHUZZI (MCHUZI MASALA) MWILINI
YA GEEDASA ENTERPRISES
1.Huondoa maumivu mbalimbali mwilini
2.Husaidia kuzuia shambulio la moyo na Huongeza msukumo wa damu
3. Hushusha lehemu mbaya(cholesterol)
4...
Regular price
$2.00
In stock
FAIDA 15 ZA CHAI MASALA (TEA MASALA) MWILINI
YA GEEDASA ENTERPRISES
1.Huondoa maumivu mbalimbali mwilini
2.Husaidia kuzuia shambulio la moyo na Huongeza msukumo wa damu
3. Hushusha lehemu mbaya(cholesterol)
4. Husafisha ut...
Regular price
$5.18
In stock
The golden harvest is originated from the poly flower of the miombo forest of kasulu, our honey is natural, no heat or tampered required into processing which we want to bring to your table, this is 100% raw honey.
Regular price
$4.42
In stock
Unga wa lishe Tiba kwa watu wenye tatizo la Sukari, Presha, Wazee na watu wenye maumivu ya viungo.